Mkufunzi wa
Liverpool Jurgen Klopp anasema kuwa kikosi chake kinaweza kushinda ligi baada
ya bahati mbaya ya msimu uliopita.
Wednesday, 2 August 2017
Sunday, 30 July 2017
MSIKIE RAMOSI KUHUSU NEYMAR.
Mchezaji wa Real Madrid Sergio Ramos anaamini kwamba itanwona tena mchezaji Neymar akiwa amevalia jezi ya Barcelona na si vinginievyo.
NEYMAR AKUBALI KUJIUNGA NA PSG.
Mshambuliaji wa
Barcelona Neymar, 25, amekubali kusaini mkataba wa miaka mitano kujiunga na
Paris Saint-Germain na huenda akakamilisha uhamisho wa pauni milioni 197 wiki
ijayo. (RMC)
Saturday, 29 July 2017
METHOD MWANJALE NAHODHA MPYA SIMBA.
Benchi
la ufundi la klabu ya Simba,chini ya kocha wake mkuu Joseph Omog limefanya
marekebisho kwenye eneo la unahodha wa timu.
OKWI UYOO SAUZI NA JEZI YAKE NAMBA SABA.
Mshambuliaji
mpya wa klabu ya soka ya simba Emmanuel Okwi leo ameunga na timu ya simba kule
afrika kusini ambapo wapo kambi
kujiandaa na mchezo wa simba day.
WAAMUZI WAPIMWA AFYA LEO TAYARI KWA MSIMU MPYA WA LIGI.
Kuelekea msimu
mpya wa ligi kuu Vodacom Tanzania bara maandalizi kwa upande wa maamuzi
watakaochezesha michezo ya ligi hiyo yameanza leo.
Friday, 28 July 2017
TETESI ZA USAJILI IJUMAA YA LEO.
Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane amesema hawezi kutoa hakikisho kuwa Gareth Bale atabakia Bernabeu msimu huu, huku Manchester United wakimfuatilia. (Mirror)
Subscribe to:
Posts (Atom)