Saturday, 29 July 2017

WAAMUZI WAPIMWA AFYA LEO TAYARI KWA MSIMU MPYA WA LIGI.



Kuelekea msimu mpya wa ligi kuu Vodacom Tanzania bara maandalizi kwa upande wa maamuzi watakaochezesha michezo ya ligi hiyo yameanza leo.


Wammuzi hao ambao leo wamepimwa afya zao ni wa Ligi Kuu na ligi Daraja la kwanza wamepima afya zao leo ili kujua afya zao kabla ya kuanza kwa ligi.

Mara baada ya kupima afya zao kesho jumapili waamuzi hao watafanya kopa  test ambayo itafanyika kwenye uwanja wa taifa.

No comments:

Post a Comment