Saturday, 29 July 2017

OKWI UYOO SAUZI NA JEZI YAKE NAMBA SABA.



Mshambuliaji mpya wa klabu ya soka ya simba Emmanuel Okwi leo ameunga na timu ya simba kule afrika  kusini ambapo wapo kambi kujiandaa na mchezo wa simba day.



Okwi ambae jina lake ni maarufu mtaa wa msimbazi amerejea tena simba kuongeza nguvu kuelekea msimu mpya wa ligi kuu Vodacom tanzania.

Simba wamemsajili okwi kwa mkataba wa miaka miwili na kukabidhiwa jezi namba 7 ambayo ilikua ikivaliwa na Hajji Ugando ambae ameachwa na klabu ya simba.

No comments:

Post a Comment