Mchezaji wa Real Madrid Sergio Ramos anaamini kwamba itanwona tena mchezaji Neymar akiwa amevalia jezi ya Barcelona na si vinginievyo.
Beki huyo wa Real Madrid ambae walibadilishana jezi na na star uyo wa kibrazil baada ya mechi ya kirafiki huko Miami jana usiku na kuisaidia Barca's kushinda kwa 3-2.
Neymar
ambae anahusishwa kuhama kwa uhamisho uliovunja rekodi kwa kujinga na PSG kwa
uhamisho wa £190million
"hajaniambaia kitu chochote. Kila mmoja ana maamuzi yake yankuchagua katika maisha yake. Natambua yeye ni mchezaji mkubwa na ni nyota wa Barcelona – atajua mwenyewe kuchagua maiha yake yake ya mpira,"
No comments:
Post a Comment