Saturday, 22 March 2014

SIR ALEX FERGUSON ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA

Kocha huyo wa zamani wa Manchester United, ambaye alistaafu mwishoni mwa msimu uliopita baada ya miaka 26 ya kuwa kazini Old Trafford, alipokea Shahada ya heshima ya Daktari wa Sayansi (DSc.) kutoka kwa mwigizaji na mshauri wa Ulster, James Nesbitt.
Mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 72 alikwenda Ireland Kaskazini kwa ajili ya shughuli hiyo, ambayo ilihudhuriwa na zaidi ya watu 500, hususan wanafunzi na wahitimu.
Tabasamu mwanana: Ferguson akiwa na Mshauri wa Chuo Kikuu cha Ulster, na shabiki wa Man United, James Nesbitt
Speech: Ferguson speaks to students after receiving his honorary degree from the University of Ulster
Ferguson akiwahutubia wanafunzi baada ya kupokea tuzo yake Chuo Kikuu cha Ulster 
Ads by SmileysWeLoveAd Options
Proud moment: Sir Alex Ferguson has received an honorary degree for his outstanding contribution to football
Proud moment: Sir Alex Ferguson has received an honorary degree for his outstanding contribution to football
Wakati wa furaha: Sir Alex Ferguson alipopokea Shahada yake ya heshim jana alipewa tuzo hizi baada ya kuitumikia timu ya kuitumikia timu ya manchester united kwa miaka takribani 21.

Akiwa england ameweza kuvunja recodi kadha wa kadha kama kuvunja rekodi ya timu ya liver kuchukua ubingwa wa england mara18.

No comments:

Post a Comment