Saturday, 18 January 2014



SERIE A: JUVE YASONGA, ROMA YAIFUKUZA!


MABINGWA na Vinara wa Serie A, Juventus, Jana waliicharaza Sampdoria Bao 4-2 na kuendeleaTEVEZ_IN_JUVEkubaki kileleni wakiwa Pointi 8 mbele ya AS Roma ambayo Jana pia waliitwanga Livorno Bao 3-0.
Katika Mechi ya Juve iliyochezwa Juventus Stadium, Bao za Mabingwa hao zilifungwa na Arturo Vidal, Bao 2 moja Penati, Fernando Llorente na Paul Pogba huku Bao za Sampdoria zikipachikwa na Andrea Barzagli, aliejifunga mwenyewe, na Manolo Gabbiadini.
Kwenye Mechi ya AS Roma na Livorno Bao za Roma zilifungwa na Mattia Destro, Kevin Strootman na Adem Lajajic.

SERIE A:
MSIMAMO-Timu za Juu:
NATIMUPWDLFAGDPTS
1Juventus FC20181150143655
2AS Roma20145142103247
3SSC Napoli19133341202142
4Fiorentina19114434201437
5Inter mILAN1988338231532
6Hellas Verona1910273430432
7Torino FC196853127426
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Januari 18
AS Roma 3 AS Livorno Calcio 0
Juventus FC 4 UC Sampdoria 2

Jumapili Januari 19
14:30 Udinese Calcio v SS Lazio
17:00 Atalanta BC v Cagliari Calcio
17:00 Bologna FC v SSC Napoli
17:00 AC Chievo Verona v Parma FC
17:00 Genoa CFC v Inter Milan
17:00 Calcio Catania v ACF Fiorentina
17:00 US Sassuolo Calcio v Torino FC
22:45 AC Milan v Hellas Verona FC
 

No comments:

Post a Comment