Thursday, 3 October 2013

JOSE CHAMELEONE ATOA WIMBO MWINGINE KWA KISWAHILI USIKILIZE HAPA.. JAMAA HAKOSEI



Jose Chameleone ni msanii ambaye anayetumia mara nyingi lugha ya kiganda na kiswahili kwenye kuimba nyimbo zake. Kuimba kwa lugha ya kiswahili ni moja sababu zinazompa fan base kubwa nchini Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla. Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa Jose ambao pia ametumia lugha ya kiswahili

Sikiliza hapa


No comments:

Post a Comment