Wednesday, 19 July 2017

TUZO YA COSAFA YAMPELEKA NDUDA SIMBA.




Klabu ya soka ya Simba imemsajili golikipa Saidi Mohammed wa klabu ya soka ya mtibwa kwa kandarasi ya miaka miwili.



Saidi Mohamed ambae yupo na timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kwenye fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (CHAN 2018). Fainali za CHAN mwakani zitafanyika nchini Kenya.

Simba wamemchukua kipa huyo kuungana na Aishi Manula kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye klabu ya simba.

Saidi Mohamed alichaguliwa kuwa kipa bora kwenye michuano ya COSAFA iliyomalizika kwa tanzania kushika nafasi ya Tatu,

No comments:

Post a Comment