Wednesday, 26 July 2017
MONACO KUMUONGEZA MKATABA KYLIAN MBAPPE.
Mbappe ambaye ana kandarasi hadi mwezi juni 2019 amehusishwa na uhamisho wa Real Madrid.
Manchester City pia imehusishwa ,lakini BBC Sport inaelewa kwamba hawako tayari kulipa kitita cha Yuro milioni 180 za uhamisho wa mchezaji huo.
Vaslyev alisema kuwa klabu hiyo ya ligue One imepata maombi kuhusu mchezaji huyo.
Lakini ameongezea :Tunazungumza kuhusu kumuongezea kandarasi Kylian na kwamba tuna matumaini yakukubaliana.
Mbappe aliifungia Monaco mabao 26 katika mashindano yote .
Mapema mwezi Julai Monaco ilisema:Vilabu muhimu kutoka Ulaya viliwasiliana na mchezaji huyo bila ruhusa yao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment