Wednesday, 12 July 2017

SIMBA NA YANGA KUFUNGUA PAZIA LA KIGI KUU NYUMBANI.

Ratiba ya Ligi Kuu Soka Vodacom Tanzania bara imetoka leo kwa michezo ya ligi hiyo kuanza kutimua vumbi tarehe 26 mwezi wa 8 kwa michezo  7 katika vuwanja mbalimbali.



 26/08/2017
Ndanda FC v Azam FC
Mwadui FC v Singida United
Mtibwa v Stand United
Simba v Ruvu Shooting
Kagera v Mbao FC
Njombe Mji v Proson
Mbeya City v Majimaji FC

27/08/2017
Yanga v Lipuli

No comments:

Post a Comment