Wednesday, 12 July 2017

AMAVUBI WATAMBA KUICHAPA TAIFA STARS



KOCHA  mkuu wa Timu ya Taifa ya Rwanda Antoine amesema kwamba  Amavubi wataonyesha safi watakapocheza na Timu ya Taifa ya Tanzania za kufuzu  CHAN 2018 katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.



 “Kila mchezaji wangu kwenye timu yangu anafuraha, wachezaji wote wana hamasa ya mchezo, cha kufurahisha ni wachezaji wote wazima, leo tumefanya mazoezi mara mbili, tunawajua Tanzania na tunawaheshimu na wamejiandaa kama sisi kiakili pamoja na kimchezo ila tutaenda kushinda,” kocha mkuu wa Rwanda 

Mchezo huo utachezwa siku ya jumamosi katika dimba la CCM Kirumba Mwanza wa hatua ya mwazo ya kufuzu michuano ya CHAN 2018.

No comments:

Post a Comment