Wilabu vyote viwili vimekubaliana kufanya uhamisho uo wa miaka miwili mpaka 30 June 2019 kukiwa na kipengele cha FC Bayern München kumnunua mchezaji huyo kama watataka
James Rodríguez atasaini mkataba huo wa kujiunga na Munich kama endapo atafuzu vipimo vya afya ambavyo vitafanyika hv karibuni.
No comments:
Post a Comment