Monday, 3 July 2017

EVERTON WAMNYAPIA GIROUD




Everton wanataka kutoa kiasi cha pauni milioni 20 kwa ajili ya straika wa Arsenal, Olivier Giroud, kwa mujibu wa taarifa kutoka Daily Mirror.


Giroud,30 huenda akaondoka Emirates kufuatia kwa uhamisho
ambao upo njiani ya Alexandre Lacazette katika dimba la Emirates kwa pauni milioni 44 kutoka Lyon.

Mwezi januari Giroud alisaini mkataba mpya wa kubaki Emirates mpaka mwaka 2020.                        

No comments:

Post a Comment