Thursday, 6 July 2017

COSAFA YAIPANDISHA TAIFA STARS VIWANDO VYA FIFA.



Tanzania imepanda kwa nafasi 25 kwenye viwango vya FIFA vilivyotolewa leo kutoka nafasi ya 139 mpaka nafasi ya 114 duniani.



Kupanda kwa nafasi hizo ni kutokana na Tanzania kufanya vyema kwenye  michuano ya COSAFA inayondelea huko Afrika Kusini.

Kwa sasa Tanzania inajiandaa kucheza mchezo wa CHANI kwa wachezaji wa ndani dhidi ya RWANDA ambapo wapo nafasi ya 127 mchezo ambao utachzwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Kwa upande wa nafasi ya kwanza imeshikiliwa na Ujerumani nafasi ya pili ikishikiliwa na Brazili huku ya tatu  ni Argentina.

No comments:

Post a Comment