Wednesday, 5 July 2017

AJIBU UYOOOOOO JANGWANI.



Aliekua mchezaji wa klabu ya soka ya simba Ibrahimu Ajibu  amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya  soka ya Yanga.



Ajibu ambae ameichezea Simba michezo 24 katika ligi kuu na kufunga magoli 8 amejiunga ma mabingwa watetezi wa ligi hiyo kuongeza nguvu ya kupachika mabao.

Katika kipindi akiwa Simba kwa msimu uliomalizika Ajibu amecheza dakika 1, 365 kwa michezo 24 aliyoichezea simba huku michezo 17 akianza na kufanyiwa mabadiloko kwa michezo 7 na michezo miwili akisotea kwenye benchi.

Ajibu sasa anaungana na wachezaji wenzake kwenye safu ya ushambuliaji wa Yanga kama Saimon Msuva, Obrey Chirwa, Amis Tambwe na Donald Ngoma.

No comments:

Post a Comment