Saturday, 28 September 2013

DIAMOND NA WCB NDANI YA VISIWA VYA MARASHI ZANZIBAR WAS CRAIZY BABY

Baada ya kuwasili uwanja wa ndege Zanzibar


Nikiongea mawili matatu na baadhi ya waandishi waliokuwa
wamepiga kambi uwanjani kunisubili

Watu walikuwa wameshapata taaarifa kuwa
nimewasili,hapa baadhi ya mashabiki wakisubiri  kwa hamu kumwona the president


Nikizungumza na watu wangu wa zanzibar ndanui ya kituo kikubwa kabisa cha Radio Zanzibar.Coconut Radio

Baadae nikakutana na waandishi wa habari ndani ya hotel ya kisasa kabisa,Zanzibar beach  lesort

Wanahabari kazini





















Unataka kujua mimi na True boy tulifanya nini Zanzibar?stay visting ....

No comments:

Post a Comment