Tuesday, 18 July 2017

LUKAKU AFUNGUA KAUNTI YA MAGOLI MAN UNITED.



Klabu ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Real Salt Lake katika mchezo wa kirafiki uliofanyika huko nchini Marekani. 



Katika mchezo huo mabao ya timu hiyo yalifungwa na Henrikh Mkhitaryan na Romelu Lukaku huku goli la Real Salt Lake likifungwa na Luis Silva.

Lukaku amecheza mchezo wake wa pili akiwa na jezi ya Man U na kuibuka na ushimdi katika mchezo wake wa pili akiwa na Man U.

No comments:

Post a Comment