Klabu ya
soka ya Real Madrid bado ina mpango wa kumsajili nyota wa klabu ya
Chelsea Eden Hazard huku klabu yake ikisema haina mpango wa kumuuza mchezaji huyo,
reports OK Diario .
Gazeti la The Telegraph limeandika Chelsea inajiandaa kufanya
uhamisho wa wachezaji Tiemoue Bakayoko, Antonio Rudgier na Alex Sandro, ambapo inakadiriwa endapo wakitua darajani wataikosti klabu £125 million
Mchezaji wa Chelsea John Terry amekubali kutua kyenye klabu ya Aston Villa kwa mkataba wa mwaka mmoja, talkSPORT reports.
No comments:
Post a Comment