Michuano ya FA, ilianza jana rasmi kwa michezo kadhaa ambapo mchezo wa ufunguzi iliwakutanisha muheza united dhidi ya sifapolitan.
Katika mchezo matokeo yalikua Muheza united 0- 1 Sifapolitan
Mchezo mwingine wa FA Kituo cha Karume ulimalizika kwa Mbuga FC kusonga mbele kwenye hatua nyingine ya michuano hiyo baada ya kuiondosha Makumbusho FC katika michuano hiyo ya FA.
No comments:
Post a Comment