Wednesday, 18 November 2015

PIGO LINGINE KWA MAN U "MARTIAL OUT"



Klabu ya Manchester United huenda ikakosa mchango wa mshambuliaji chipukizi Anthony Martial ambaye alipata majeraha ya mguu wakati akiiwakilisha timu yake ya Taifa ya Ufaransa katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Uingereza Jumanne usiku.


Huenda chipukizi huyo anaekipiga kunako klabu ya soka ya MAN U akaukosa mchezo wa wiki end hii ambapo timu yake itakua na kibarua na  Watford ugenini siku ya jumamosi na mchezo mwingine wa ligi ya mabingwa ulaya siku ya jumatanio ambapo timu yake itakuwa nyumbani kuwasubiri PSV Eindhoven 

Martial ni kijana mwenye umri wa  19-year-old ambae alisajiliwa na klabu ya man u kwa ada ya uhammisho wa £36million kutoka Monaco in September.


United pia tayar imempoteza Michael Carrick kwa kipindi hiki cha muda international break kwa tatizo la enka 

No comments:

Post a Comment