MENEJA wa Arsenal, Arsene Wenger amesisitiza kuwa
hadhani kama ataweza kufundisha klabu nyingine ya Ligi Kuu kama akitimuliwa na
klabu yake.
Meneja huyo raia wa Ufaransa amekuwa akiinoa Arsenal toka mwaka
1996, akishinda mataji matatu ya Ligi Kuu, sita ya Kombe la FA katika kipindi
cha miaka 19 alichokaa hapo.
Na wakati mkataba wake wa sasa ukikaribia
kumalizika mwaka 2017, Wenger amedai kuwa anaweza kuendelea kuinoa Arsenal
lakini kama akiondolewa hadhani kama anaweza kutafuta timu nyingine Uingereza.
Wenger amesema soka imekluwa kitu anachopenda hivyo hata akiondoka Arsenal
lazima ataendelea kufundisha lakini haitakuwa Uingereza.
MENEJA wa Arsenal,
Arsene Wenger amesisitiza kuwa hadhani kama ataweza kufundisha klabu
nyingine ya Ligi Kuu kama akitimuliwa na klabu yake. Meneja huyo raia wa
Ufaransa amekuwa akiinoa Arsenal toka mwaka 1996, akishinda mataji
matatu ya Ligi Kuu, sita ya Kombe la FA katika kipindi cha miaka 19
alichokaa hapo. Na wakati mkataba wake wa sasa ukikaribia kumalizika
mwaka 2017, Wenger amedai kuwa anaweza kuendelea kuinoa Arsenal lakini
kama akiondolewa hadhani kama anaweza kutafuta timu nyingine Uingereza.
Wenger amesema soka imekluwa kitu anachopenda hivyo hata akiondoka
Arsenal lazima ataendelea kufundisha lakini haitakuwa Uingereza.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
MSHAMBULIAJI nyota wa
Leicester City, Jamie Vardy ambaye ndio mfungaji anayeongoza kwasasa
katika Ligi Kuu, ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Octoba baada ya
kufunga mabao matano katika mechi nne. Nyota huyo wa kimataifa wa
Uingereza mwenye umri wa miaka 28, ameafunga mabao 12 katika mechi 12 za
ligi msimu huu huku akifunga katika mechi tisa zilizopita na kuisaidia
Leicester kukaa katika nafasi ya tatu. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger
yeye ameteuliwa kuwa meneja bora wa mwezi baada ya kushinda mechi nne
alizosimamia mwezi uliopita na kukifanya kikosi chake kukaa katika
nafasi ya pili katika msimamo wa ligi. Hiyo inakuwa tuzo ya 15 kwa
Wenger toka aanze kuinoa Arsenal. Wenger mwenye umri wa miaka 66,
alimshinda meneja wa Leicester Claudio Ranieri ambaye yeye ameshinda
mechi mechi tatu mwezi uliopita.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
MSHAMBULIAJI nyota wa
Leicester City, Jamie Vardy ambaye ndio mfungaji anayeongoza kwasasa
katika Ligi Kuu, ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Octoba baada ya
kufunga mabao matano katika mechi nne. Nyota huyo wa kimataifa wa
Uingereza mwenye umri wa miaka 28, ameafunga mabao 12 katika mechi 12 za
ligi msimu huu huku akifunga katika mechi tisa zilizopita na kuisaidia
Leicester kukaa katika nafasi ya tatu. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger
yeye ameteuliwa kuwa meneja bora wa mwezi baada ya kushinda mechi nne
alizosimamia mwezi uliopita na kukifanya kikosi chake kukaa katika
nafasi ya pili katika msimamo wa ligi. Hiyo inakuwa tuzo ya 15 kwa
Wenger toka aanze kuinoa Arsenal. Wenger mwenye umri wa miaka 66,
alimshinda meneja wa Leicester Claudio Ranieri ambaye yeye ameshinda
mechi mechi tatu mwezi uliopita.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
No comments:
Post a Comment