Baada ya kurejea nchini wakitoke nchini Congo DRC
wachezaji wa Tanzania MBWANA SAMATTA na THOMAS ULIMWENGU Mkuuu wa mkoa wa Dar
es Salaam SAID MECKY SADICK ameawapongeza wachezaji hao baada ya kufanya vizuri
katika klabu yao ya TP Mazembe ya huko Congo.
Kwa upande wake mchezji MBWANA SAMATTA amewashukuru
watanzania waliomuunga mkono katika kipindi alichokuwa jijini Lumbumbashi
huku akiweka mkazo zaidi kwa sasa katika
mchezo wao wa jumamosi dhidi ya timu ya Algeria pamoja na klabu yake kutwa
kombe hilo.
Naye THOMAS ULIMWENGU amesema kwa sasa wao wanachaangalia
ni kusonga mbele na kuweka nguvu zaidi katika mchezo wao huo pamoja na yaote
yaliyotokea jumapili iliyopita walipocheza dhidi ya klabu ya USM Algers.
No comments:
Post a Comment